Waamuzi 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Gideoni akasema: “Ndiyo sababu Yehova atakapowatia Zeba na Zalmuna katika mkono wangu, hakika nitaipepeta miili yenu kwa miiba ya nyikani na michongoma.”+ Methali 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+ Methali 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hukumu zimefanywa imara kwa ajili ya wenye dhihaka,+ na mapigo kwa ajili ya mgongo wa wajinga.+
7 Ndipo Gideoni akasema: “Ndiyo sababu Yehova atakapowatia Zeba na Zalmuna katika mkono wangu, hakika nitaipepeta miili yenu kwa miiba ya nyikani na michongoma.”+
13 Hekima hupatikana kwenye midomo ya mtu mwenye uelewaji,+ lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wa mtu ambaye amepungukiwa moyoni.+