Waamuzi 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini Yuda akasonga mbele akiwa na Simeoni ndugu yake, nao wakawapiga Wakanaani waliokaa Sefathi na kuliharibu+ jiji. Basi jina la jiji hilo likaitwa Horma.+
17 Lakini Yuda akasonga mbele akiwa na Simeoni ndugu yake, nao wakawapiga Wakanaani waliokaa Sefathi na kuliharibu+ jiji. Basi jina la jiji hilo likaitwa Horma.+