Mambo ya Walawi 27:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+ Kumbukumbu la Torati 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+ Yoshua 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wakaangamiza kila kitu kilichokuwa ndani ya jiji hilo, kuanzia mwanamume mpaka mwanamke, kuanzia kijana mpaka mzee hata ng’ombe na kondoo na punda, kwa makali ya upanga.+
29 Hakuna mtu yeyote ambaye huenda akawa ametengwa kwa ajili ya kuharibiwa kutoka kati ya wanadamu atakayekombolewa.+ Lazima auawe.+
16 Ni katika majiji ya watu hawa tu ambayo Yehova anakupa yawe urithi ambayo hutaacha hai chochote kinachopumua,+
21 Wakaangamiza kila kitu kilichokuwa ndani ya jiji hilo, kuanzia mwanamume mpaka mwanamke, kuanzia kijana mpaka mzee hata ng’ombe na kondoo na punda, kwa makali ya upanga.+