Mwanzo 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Baada ya hayo Labani akamwambia: “Wewe kwa kweli ni mfupa wangu na nyama yangu.”+ Basi akakaa naye mwezi mzima. 1 Mambo ya Nyakati 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+
14 Baada ya hayo Labani akamwambia: “Wewe kwa kweli ni mfupa wangu na nyama yangu.”+ Basi akakaa naye mwezi mzima.
11 Baada ya muda Waisraeli+ wote wakajikusanya pamoja kwa Daudi katika Hebroni,+ wakisema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+