Waamuzi 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Laiti watu hawa wangekuwa mkononi mwangu!+ Ndipo ningemwondoa Abimeleki.” Naye akamwambia Abimeleki: “Zidisha jeshi lako kwa wingi, kisha utoke nje.”+
29 Laiti watu hawa wangekuwa mkononi mwangu!+ Ndipo ningemwondoa Abimeleki.” Naye akamwambia Abimeleki: “Zidisha jeshi lako kwa wingi, kisha utoke nje.”+