Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Absalomu husema: “Laiti mimi ningewekwa kuwa mwamuzi katika nchi,+ ili kila mtu aliye na kesi au hukumu aje kwangu! Ndipo hakika ningemtendea haki.”+

  • Zaburi 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+

      Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;

      נ [Nun]

      Amekosa kumheshimu Yehova.+

  • Waroma 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki