2 Samweli 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Absalomu husema: “Laiti mimi ningewekwa kuwa mwamuzi katika nchi,+ ili kila mtu aliye na kesi au hukumu aje kwangu! Ndipo hakika ningemtendea haki.”+ Zaburi 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;נ [Nun]Amekosa kumheshimu Yehova.+ Waroma 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+
4 Na Absalomu husema: “Laiti mimi ningewekwa kuwa mwamuzi katika nchi,+ ili kila mtu aliye na kesi au hukumu aje kwangu! Ndipo hakika ningemtendea haki.”+
3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;נ [Nun]Amekosa kumheshimu Yehova.+
30 wasengenyaji,+ wenye kumchukia Mungu, wenye dharau,+ wenye majivuno,+ wenye kujidai,+ wenye kutunga mambo mabaya,+ wasiotii wazazi,+