Waamuzi 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi yule malaika wa Mungu wa kweli akamwambia: “Chukua nyama hiyo na keki hizo zisizo na chachu, uviweke juu ya lile jiwe kubwa pale,+ ukaumimine huu mchuzi.” Akafanya hivyo.
20 Basi yule malaika wa Mungu wa kweli akamwambia: “Chukua nyama hiyo na keki hizo zisizo na chachu, uviweke juu ya lile jiwe kubwa pale,+ ukaumimine huu mchuzi.” Akafanya hivyo.