Waamuzi 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Manoa akachukua mwana-mbuzi na toleo la nafaka, akamtolea Yehova juu ya mwamba.+ Naye huyo alikuwa akifanya jambo fulani kwa njia ya ajabu huku Manoa na mke wake wakitazama.
19 Basi Manoa akachukua mwana-mbuzi na toleo la nafaka, akamtolea Yehova juu ya mwamba.+ Naye huyo alikuwa akifanya jambo fulani kwa njia ya ajabu huku Manoa na mke wake wakitazama.