4 Abeli naye akaleta baadhi ya wazaliwa wa kwanza+ wa kundi lake, pia vipande vyao vyenye mafuta.+ Ingawa Yehova alikuwa akimtazama Abeli na toleo lake kwa kibali,+
16 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Manoa: “Ukinizuilia, sitakula mkate wako; bali ukitaka kutoa toleo la kuteketezwa kwa Yehova,+ unaweza kulitoa.” Kwa maana Manoa hakujua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.