Waamuzi 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na ikawa kwamba, katika siku ya nne wakaanza kumwambia mke wa Samsoni: “Mdanganye mume wako ili atutegulie kitendawili hicho.+ Kama sivyo tutakuteketeza kwa moto+ wewe na nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?”+
15 Na ikawa kwamba, katika siku ya nne wakaanza kumwambia mke wa Samsoni: “Mdanganye mume wako ili atutegulie kitendawili hicho.+ Kama sivyo tutakuteketeza kwa moto+ wewe na nyumba ya baba yako. Je, mlitualika hapa ili mchukue mali zetu?”+