Mwanzo 32:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndiyo sababu wana wa Israeli hawana desturi ya kula kano ya mshipa wa paja, ulio kwenye tundu la fundo la paja, mpaka leo hii, kwa sababu aligusa tundu la fundo la paja la Yakobo karibu na kano ya mshipa wa paja.+ Ayubu 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ulinivika ngozi na nyamaUkanifuma kwa mifupa na kano.+
32 Ndiyo sababu wana wa Israeli hawana desturi ya kula kano ya mshipa wa paja, ulio kwenye tundu la fundo la paja, mpaka leo hii, kwa sababu aligusa tundu la fundo la paja la Yakobo karibu na kano ya mshipa wa paja.+