Waamuzi 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Delila akachukua kamba mpya akamfunga nazo, akamwambia: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Wakati huo wote wale watu wenye kuvizia walikuwa wameketi katika chumba cha ndani.+ Ndipo akazikata vipande viwili kutoka mikononi mwake kama uzi.+
12 Basi Delila akachukua kamba mpya akamfunga nazo, akamwambia: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!” Wakati huo wote wale watu wenye kuvizia walikuwa wameketi katika chumba cha ndani.+ Ndipo akazikata vipande viwili kutoka mikononi mwake kama uzi.+