Hesabu 14:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Msipande, kwa sababu Yehova hayuko katikati yenu, msije mkashindwa mbele ya adui zenu.+ 1 Samweli 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Sauli akaanza kumwogopa+ Daudi kwa maana Yehova alikuwa pamoja naye,+ lakini alikuwa amemwacha Sauli.+ 2 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+
12 Na Sauli akaanza kumwogopa+ Daudi kwa maana Yehova alikuwa pamoja naye,+ lakini alikuwa amemwacha Sauli.+
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+