1 Samweli 25:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mara moja akasimama, akainama kifudifudi,+ akasema: “Tazama, mimi ni kijakazi wako, niwe mjakazi wa kuosha miguu+ ya watumishi wa bwana wangu.”+ Wafilipi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,
41 Mara moja akasimama, akainama kifudifudi,+ akasema: “Tazama, mimi ni kijakazi wako, niwe mjakazi wa kuosha miguu+ ya watumishi wa bwana wangu.”+
3 bila kufanya jambo lolote kwa ugomvi+ au kwa kujisifu,+ bali kwa unyenyekevu wa akili mkiwaona wengine kuwa ni bora+ kuliko ninyi,