Isaya 30:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na ng’ombe na punda wakomavu wanaolima udongo watakula chakula kilichokolezwa kwa mboga chungu, ambacho kilipepetwa kwa sepetu+ na kwa uma.
24 Na ng’ombe na punda wakomavu wanaolima udongo watakula chakula kilichokolezwa kwa mboga chungu, ambacho kilipepetwa kwa sepetu+ na kwa uma.