1 Samweli 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa Ahimeleki+ kuhani; naye Ahimeleki akaanza kutetemeka alipokutana na Daudi, kisha akamwambia: “Kwa nini uko peke yako, wala hakuna yeyote aliye pamoja nawe?”+
21 Baadaye Daudi akafika Nobu+ kwa Ahimeleki+ kuhani; naye Ahimeleki akaanza kutetemeka alipokutana na Daudi, kisha akamwambia: “Kwa nini uko peke yako, wala hakuna yeyote aliye pamoja nawe?”+