2 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki kuhani: “Mfalme mwenyewe aliniamuru kuhusu habari fulani,+ naye akaniambia, ‘Usiache yeyote ajue lolote kuhusu habari ninayokutuma na kuhusu yale ambayo nimekuamuru.’ Nami nimefanya mapatano ya kukutana mahali fulani pamoja na vijana.