-
Waamuzi 17:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Baada ya muda akamwambia mama yake: “Vile vipande elfu moja na mia moja vya fedha vilivyochukuliwa kutoka kwako na ambavyo ulitoa laana+ juu yake na pia ukasema masikioni mwangu—tazama! mimi nina fedha hizo. Mimi ndiye niliyezichukua.”+ Ndipo mama yake akasema: “Mwanangu na awe mbarikiwa wa Yehova.”+
-