1 Samweli 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na jina la mtu huyo lilikuwa Nabali,+ na jina la mke wake lilikuwa Abigaili.+ Naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo, lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya;+ naye alikuwa Mkalebu.+
3 Na jina la mtu huyo lilikuwa Nabali,+ na jina la mke wake lilikuwa Abigaili.+ Naye mke huyo alikuwa mwenye busara+ njema na mrembo wa umbo, lakini mume alikuwa mkali na mwenye matendo mabaya;+ naye alikuwa Mkalebu.+