1 Samweli 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha Daudi akaondoka, akaendelea kukimbia+ kwa sababu ya Sauli siku hiyo, mwishowe akafika kwa Akishi mfalme wa Gathi.+ 1 Samweli 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Akishi akamwamini+ Daudi, akisema moyoni mwake: “Bila shaka amenuka katikati ya watu wake Israeli;+ naye atakuwa mtumishi wangu mpaka wakati usio na kipimo.”
10 Kisha Daudi akaondoka, akaendelea kukimbia+ kwa sababu ya Sauli siku hiyo, mwishowe akafika kwa Akishi mfalme wa Gathi.+
12 Kwa hiyo Akishi akamwamini+ Daudi, akisema moyoni mwake: “Bila shaka amenuka katikati ya watu wake Israeli;+ naye atakuwa mtumishi wangu mpaka wakati usio na kipimo.”