1 Samweli 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi hakuonekana fundi wa chuma yeyote katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walikuwa wamesema: “Ili Waebrania wasitengeneze upanga wala mkuki.”+ 2 Wakorintho 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, wao ni Waebrania? Mimi pia.+ Je, wao ni Waisraeli? Mimi pia. Je, wao ni uzao wa Abrahamu? Mimi pia.+
19 Basi hakuonekana fundi wa chuma yeyote katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walikuwa wamesema: “Ili Waebrania wasitengeneze upanga wala mkuki.”+
22 Je, wao ni Waebrania? Mimi pia.+ Je, wao ni Waisraeli? Mimi pia. Je, wao ni uzao wa Abrahamu? Mimi pia.+