42 Kisha Abigaili+ akafanya haraka, akaondoka, akapanda punda+ pamoja na wanawali wake watano wakiwa wanatembea nyuma yake; akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, na kisha akawa mke wake.
3 Na Daudi akaendelea kukaa na Akishi katika Gathi, yeye pamoja na watu wake, kila mmoja na nyumba yake,+ Daudi na wake zake wawili, Ahinoamu+ Myezreeli na Abigaili,+ mke wa Nabali Mkarmeli.