1 Samweli 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakasema: “Ikiwa mnalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilirudishe bila toleo, kwa maana kwa vyovyote mnapaswa kumrudishia toleo la hatia.+ Ndipo mtakapoponywa, nanyi mtajua kwa nini mkono wake haukuondoka juu yenu.”
3 Nao wakasema: “Ikiwa mnalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilirudishe bila toleo, kwa maana kwa vyovyote mnapaswa kumrudishia toleo la hatia.+ Ndipo mtakapoponywa, nanyi mtajua kwa nini mkono wake haukuondoka juu yenu.”