3 Wakajibu: “Mkilirudisha sanduku la agano la Yehova, Mungu wa Israeli, msilirudishe bila dhabihu. Kwa vyovyote vile mnapaswa kumrudishia pamoja na dhabihu ya hatia.+ Ndipo tu mtakapoponywa, nanyi mtajulishwa kwa nini mkono wake unaendelea kuwaadhibu.”