41 Sasa akaichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni akatoa baraka,+ akaimega+ ile mikate na kuanza kuwapa wanafunzi, ili wapate kuiweka mbele ya watu hao; naye akawagawanya wale samaki wawili kwa ajili ya watu wote.
16 Ndipo akichukua ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akavibariki na kuvimega, akaanza kuwapa wanafunzi waviweke mbele ya umati.+