Mathayo 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+ Marko 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akauagiza umati uketi chini, naye akaichukua ile mikate saba, akashukuru,+ akaimega, na kuanza kuwapa wanafunzi wake waigawe, nao wakaugawia umati.+ Matendo 27:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Baada ya kusema jambo hilo, pia akachukua mkate, akamshukuru+ Mungu mbele yao wote akaumega na kuanza kula.
26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+
6 Naye akauagiza umati uketi chini, naye akaichukua ile mikate saba, akashukuru,+ akaimega, na kuanza kuwapa wanafunzi wake waigawe, nao wakaugawia umati.+
35 Baada ya kusema jambo hilo, pia akachukua mkate, akamshukuru+ Mungu mbele yao wote akaumega na kuanza kula.