Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 akachukua ile mikate saba na wale samaki na, baada ya kushukuru, akamega na kuanza kuwagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia umati.+

  • Marko 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akauagiza umati uketi chini, naye akaichukua ile mikate saba, akashukuru,+ akaimega, na kuanza kuwapa wanafunzi wake waigawe, nao wakaugawia umati.+

  • Yohana 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi Yesu akachukua ile mikate na, baada ya kushukuru, akaigawanya kwa wale waliokuwa wameketi, vivyo hivyo pia wale samaki wadogo kadiri walivyotaka.+

  • Waroma 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeye anayeishika siku huishika kwa ajili ya Yehova. Pia, yeye anayekula, anakula kwa ajili ya Yehova,+ kwa maana yeye humshukuru Mungu;+ na yeye asiyekula hali chakula kwa ajili ya Yehova,+ na bado yeye humshukuru Mungu.+

  • 1 Timotheo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki