Mathayo 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 akachukua ile mikate saba na wale samaki na, baada ya kushukuru, akamega na kuanza kuwagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia umati.+ 1 Timotheo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+
36 akachukua ile mikate saba na wale samaki na, baada ya kushukuru, akamega na kuanza kuwagawia wanafunzi, nao wanafunzi wakawagawia umati.+
4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+