Kumbukumbu la Torati 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+ Luka 22:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pia, akachukua mkate,+ akashukuru, akaumega, akawapa, akisema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao utatolewa kwa ajili yenu.+ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+ 1 Timotheo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+
10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+
19 Pia, akachukua mkate,+ akashukuru, akaumega, akawapa, akisema: “Huu unamaanisha mwili+ wangu ambao utatolewa kwa ajili yenu.+ Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”+
4 Sababu ya hili ni kwamba kila kiumbe cha Mungu ni kizuri,+ na hakuna kitu kinachopaswa kukataliwa+ kama kinapokewa kwa kutoa shukrani,+