Mambo ya Walawi 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Msile yoyote kati ya nyama zao, wala msiguse mizoga yao.+ Hao si safi kwenu.+ Yeremia 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Sasa ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa tisa,+ watu wote katika Yerusalemu na watu wote waliokuwa wakiingia Yerusalemu kutoka katika majiji ya Yuda walitangaza kufunga mbele za Yehova.+
9 Sasa ikawa kwamba katika mwaka wa tano wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, katika mwezi wa tisa,+ watu wote katika Yerusalemu na watu wote waliokuwa wakiingia Yerusalemu kutoka katika majiji ya Yuda walitangaza kufunga mbele za Yehova.+