2 Wafalme 23:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Zebida binti ya Pedaya kutoka Ruma. Yeremia 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na kusema:
36 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu.+ Na jina la mama yake lilikuwa Zebida binti ya Pedaya kutoka Ruma.
35 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova katika siku za Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na kusema: