Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo Yehoshafati akaogopa,+ akauelekeza uso wake kumtafuta Yehova.+ Kwa hiyo akatangaza mfungo+ kwa ajili ya Yuda yote.

  • Nehemia 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na katika siku ya 24 ya mwezi huu+ wana wa Israeli wakakusanyika, wakifunga+ na kuvaa nguo za magunia+ na mavumbi+ juu yao.

  • Esta 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Nenda, wakusanye Wayahudi wote waliopo Shushani+ na mfunge+ kwa ajili yangu, msile wala kunywa kwa siku tatu,+ usiku na mchana. Mimi pia pamoja na wanawake wangu vijana,+ nitafunga vivyo hivyo, na baada ya hapo nitaingia kwa mfalme, jambo ambalo ni kinyume cha sheria. Nami nikiangamia,+ na niangamie.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki