Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Zaburi 55:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtupie Yehova mzigo wako,+Naye mwenyewe atakutegemeza.+Hatamwacha kamwe mwadilifu atikisike.+ Zaburi 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtegemeeni nyakati zote.+Mimineni moyo wenu mbele zake.+Mungu ni kimbilio letu.+ Sela. Zaburi 115:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ee Israeli, mtegemeeni Yehova;+Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+ Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Waroma 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+
4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+