Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+

      Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+

  • Zaburi 55:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mtupie Yehova mzigo wako,+

      Naye mwenyewe atakutegemeza.+

      Hatamwacha kamwe mwadilifu atikisike.+

  • Zaburi 62:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mtegemeeni nyakati zote.+

      Mimineni moyo wenu mbele zake.+

      Mungu ni kimbilio letu.+ Sela.

  • Zaburi 115:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ee Israeli, mtegemeeni Yehova;+

      Yeye ndiye msaada wao na ngao yao.+

  • Methali 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+

  • Waroma 16:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao wamehatarisha shingo+ zao wenyewe kwa ajili ya nafsi yangu, ambao si mimi tu bali pia makutaniko yote ya mataifa yanawashukuru;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki