Mwanzo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+ Mwanzo 29:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yehova alipoona kwamba Lea alichukiwa, ndipo akafungua tumbo lake la uzazi,+ lakini Raheli alikuwa tasa.+
16 Sasa Sarai, mke wa Abramu, hakuwa amemzalia watoto wowote;+ lakini alikuwa na mjakazi Mmisri na jina lake lilikuwa Hagari.+
31 Yehova alipoona kwamba Lea alichukiwa, ndipo akafungua tumbo lake la uzazi,+ lakini Raheli alikuwa tasa.+