1 Samweli 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Watu walipoingia msituni, tazama! asali ilikuwa ikidondoka,+ lakini hakuna yeyote aliyenyoosha mkono wake kuuleta kinywani pake, kwa sababu watu waliogopa kile kiapo.+ Matendo 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 naye akala chakula na kupata nguvu.+ Kwa siku kadhaa akapata kuwa pamoja na wanafunzi katika Damasko,+
26 Watu walipoingia msituni, tazama! asali ilikuwa ikidondoka,+ lakini hakuna yeyote aliyenyoosha mkono wake kuuleta kinywani pake, kwa sababu watu waliogopa kile kiapo.+
19 naye akala chakula na kupata nguvu.+ Kwa siku kadhaa akapata kuwa pamoja na wanafunzi katika Damasko,+