Hesabu 33:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtawafukuzia mbali wakaaji wa nchi hiyo kutoka mbele yenu,+ basi wale mtakaoacha watakuwa kama michomo katika macho yenu na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika nchi ambamo mtakuwa mkikaa.+ Waamuzi 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+
55 “‘Hata hivyo, ikiwa hamtawafukuzia mbali wakaaji wa nchi hiyo kutoka mbele yenu,+ basi wale mtakaoacha watakuwa kama michomo katika macho yenu na kama miiba ubavuni mwenu, nao watawasumbua katika nchi ambamo mtakuwa mkikaa.+
3 Basi, mimi kwa upande wangu nimesema, ‘Sitawafukuza kutoka mbele yenu, nao watakuwa mitego kwenu,+ na miungu yao itakuwa mtego kwenu.’”+