Zaburi 37:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Upanga wao wenyewe utaingia katika moyo wao,+Nazo pinde zao zitavunjwa.+ Zaburi 76:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Huko alivunja mishale ya upinde inayowaka,+Ngao na upanga na vita.+ Sela.