2 Samweli 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mfalme akaendelea kusema: “Je, hakuna kabisa mtu wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo za Mungu?”+ Hivyo Siba akamwambia mfalme: “Bado kuna mwana wa Yonathani, mwenye kulemaa miguu.”+
3 Na mfalme akaendelea kusema: “Je, hakuna kabisa mtu wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo za Mungu?”+ Hivyo Siba akamwambia mfalme: “Bado kuna mwana wa Yonathani, mwenye kulemaa miguu.”+