Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Yonathani,+ mwana wa Sauli, alikuwa na mwana mwenye kulemaa miguu.+ Alikuwa na umri wa miaka mitano wakati habari juu ya Sauli na Yonathani ilipofika kutoka Yezreeli;+ na mlezi wake akamchukua, akakimbia, lakini ikawa kwamba huyo mwanamke alipokuwa akikimbia akiwa na wasiwasi ili aponyoke, ndipo mtoto huyo akaanguka na kulemaa. Na jina lake lilikuwa Mefiboshethi.+

  • 2 Samweli 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Mefiboshethi alikuwa anakaa katika Yerusalemu, kwa maana alikuwa akila sikuzote mezani pa mfalme;+ naye alikuwa amelemaa miguu yote miwili.+

  • 2 Samweli 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akasema: “Bwana wangu mfalme, mtumishi wangu+ ndiye aliyenidanganya. Kwa maana mtumishi wako alikuwa amesema, ‘Acha nijitandikie punda-jike ili nimpande, niende pamoja na mfalme,’ kwa maana mtumishi wako ni kilema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki