11 Ndipo Boazi akajibu na kumwambia: “Nilipewa habari+ kamili juu ya yote ambayo umemfanyia mama-mkwe wako baada ya kifo cha mume wako.+ Pia jinsi ulivyowaacha baba yako na mama yako na nchi ya watu wa jamaa yako na kwenda kwa kikundi cha watu ambao hukuwa umewajua zamani.+