2 Na palikuwa na watu wawili, wakuu wa vikundi vya waporaji,+ waliokuwa wa mwana wa Sauli, jina la mmoja lilikuwa Baana na jina la mwingine lilikuwa Rekabu, wana wa Rimoni Mbeerothi, wa wana wa Benyamini; kwa maana Beerothi+ pia lilikuwa likihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini.