2 Samweli 3:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mikono yako haikufungwa,+Na miguu yako haikutiwa katika pingu za shaba.+Umeanguka kama yule anayeanguka mbele ya wana wa ukosefu wa uadilifu.”+Ndipo watu wote wakamlilia+ tena. 2 Samweli 11:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Daudi akatuma watu na kuuliza habari za mwanamke+ huyo, na mtu fulani akasema: “Je, huyu si Bath-sheba,+ binti ya Eliamu,+ mke wa Uria+ Mhiti?”+
34 Mikono yako haikufungwa,+Na miguu yako haikutiwa katika pingu za shaba.+Umeanguka kama yule anayeanguka mbele ya wana wa ukosefu wa uadilifu.”+Ndipo watu wote wakamlilia+ tena.
3 Ndipo Daudi akatuma watu na kuuliza habari za mwanamke+ huyo, na mtu fulani akasema: “Je, huyu si Bath-sheba,+ binti ya Eliamu,+ mke wa Uria+ Mhiti?”+