2 Samweli 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na yule mwanamke akaendelea kusema: “Kwa nini basi, umewaza jinsi hii+ dhidi ya watu wa Mungu?+ Mfalme anaposema neno hili, yeye ni kama mtu aliye na hatia,+ kwa kuwa mfalme hamrudishi mtu wake aliyefukuzwa.+
13 Na yule mwanamke akaendelea kusema: “Kwa nini basi, umewaza jinsi hii+ dhidi ya watu wa Mungu?+ Mfalme anaposema neno hili, yeye ni kama mtu aliye na hatia,+ kwa kuwa mfalme hamrudishi mtu wake aliyefukuzwa.+