Methali 29:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+ Mhubiri 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Chochote ambacho kimekuja kuwako, jina lake tayari limetangazwa, na imejulikana mwanadamu ni nini;+ naye hawezi kujitetea mbele ya mtu aliye na nguvu kuliko yeye.+
29 Mtu anayekaripiwa+ tena na tena lakini anayeifanya shingo yake kuwa ngumu+ atavunjika ghafula, na hivyo pasipo kuponywa.+
10 Chochote ambacho kimekuja kuwako, jina lake tayari limetangazwa, na imejulikana mwanadamu ni nini;+ naye hawezi kujitetea mbele ya mtu aliye na nguvu kuliko yeye.+