Waamuzi 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Tafadhali, semeni masikioni mwa wenye mashamba wote wa Shekemu, ‘Ni jambo gani lililo bora kwenu, kwamba watu 70,+ wana wote wa Yerubaali, watawale juu yenu au mtu mmoja atawale juu yenu? Nanyi mkumbuke kwamba mimi ni mfupa na nyama yenu.’”+ 2 Samweli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi+ katika Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+
2 “Tafadhali, semeni masikioni mwa wenye mashamba wote wa Shekemu, ‘Ni jambo gani lililo bora kwenu, kwamba watu 70,+ wana wote wa Yerubaali, watawale juu yenu au mtu mmoja atawale juu yenu? Nanyi mkumbuke kwamba mimi ni mfupa na nyama yenu.’”+
5 Baada ya muda makabila yote ya Israeli yakaja kwa Daudi+ katika Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.+