37 Kama vile Yehova alivyokuwa pamoja na bwana wangu mfalme,+ basi na awe na Sulemani+ vivyo hivyo, na akifanye kiti chake cha ufalme kiwe kikuu+ kuliko kiti cha ufalme cha bwana wangu Mfalme Daudi.”
38 na kusema: “Aliyebarikiwa ni Yule anayekuja akiwa ndiye Mfalme katika jina la Yehova!+ Amani mbinguni, na utukufu katika mahali palipoinuka juu zaidi!”+