Mwanzo 47:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kisha akamwambia: “Niapie.” Basi akamwapia.+ Ndipo Israeli akajilaza kifudifudi juu ya kichwa cha kitanda.+ Waebrania 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+
31 Kisha akamwambia: “Niapie.” Basi akamwapia.+ Ndipo Israeli akajilaza kifudifudi juu ya kichwa cha kitanda.+
21 Kwa imani Yakobo, alipokuwa karibu kufa,+ aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu+ na kuabudu akiegemea juu ya fimbo yake.+