Mambo ya Walawi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Sasa hii ndiyo sheria ya dhabihu ya ushirika+ ambayo mtu yeyote atamtolea Yehova: 2 Samweli 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi. 1 Mambo ya Nyakati 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+
18 Daudi alipomaliza kutoa zile dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki+ watu katika jina la Yehova+ wa majeshi.
29 Lakini ile maskani ya Yehova ambayo Musa alikuwa ameitengeneza katika nyika na ile madhabahu ya toleo la kuteketezwa, vilikuwa wakati huo katika mahali pa juu kule Gibeoni.+