-
Ezekieli 41:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Navyo vilipanuka kuelekea upande wa nje na kugeuka kuelekea sehemu ya juu na ile iliyo juu yake mpaka kwenye vile vyumba vya kando, kwa maana njia inayopinda-pinda ya nyumba ile ilienda juu na juu kuizunguka nyumba pande zote.+ Kwa hiyo nyumba ilipanuka kuelekea juu, na kutoka ghorofa ya chini kabisa mtu angeweza kupanda mpaka ghorofa ya juu kabisa,+ kupitia ghorofa ya katikati.
-