6 Navyo vyumba vya kando vilikuwa chumba cha kando juu ya chumba cha kando, ghorofa tatu, na kila sehemu ikiwa na 30; navyo viliingia ndani ya ukuta wa nyumba, yaani, vyumba vya kando kuzunguka pande zote, ili vipate kushikiliwa, lakini havikushikiliwa katika ukuta wa nyumba.+